Awgin wa Klusma

Awgin wa Klusma (pia: Awgen au Eugeni; alifariki Nisibi, leo nchini Uturuki, 363, akiwa mzee) alikuwa mmonaki wa Misri ambaye inasimuliwa kuwa aliingiza mtindo huo wa maisha katika Kanisa la Waashuru.

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search